Nenda kwa yaliyomo

Ukoloni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 20:26, 5 Novemba 2005 na 129.113.50.180 (majadiliano)
(tofauti) ← Pitio lililotangulia | Toleo la sasa (tofauti) | Pitio linalofuata → (tofauti)

Mfumo wa taifa moja kuvuka mipaka yake na kutawala taifa jingine katika nyanja za kiuchumi, kiutamaduni na kijamii.

Mataifa ya Afrika yaliwekwa chini ya ukoloni wa nchi za Ulaya mara baada ya Mkutano wa Berlin ulioitishwa na Kansela Bismark mwaka 1884-1885.